GHALANI MWA BWANA

Mfumo unaounganisha huduma za kanisa na maktaba ya Kikristo.

Unapaswa kuwa mwenye maktaba au duka la kuuza vitabu.

Maelekezo

Wanachama wote wanaotaka kuona vitabu au mahubiri ya kanisani wanapaswa kuwasiliana na makanisa yao kujua jinsi ya kujiunga.

Kwa wenye maduka ya kuuza vitabu unaweza kuwashirikisha wateja wako wajiunge na mtandao kama wanachama huru.

Je wewe ni muuza vitabu vya kikristo?

Kama jibu ni ndiyo bofya linki ya hapo chini ili kuendelea.